Yanga kuibeba Tanzania ?

Wachezaji wa Yanga

Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Yanga SC wanatarajia kushuka dimbani kesho kutupa kete yao ya pili kwenye michuano ya Sportpesa Super Cup dhidi ya AFC Leopards ya Kenya huku macho ya watanzania yakiwa kwa timu hiyo kuona kama itaweza kuleta ubingwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS