Jay Moe akiri kuwa-diss hawa

Mwanamuziki Juma Mchopanga 'Jay Moe'

Mkongwe aliyerudi kwenye game kwa kasi nzuri, Juma Mchopanga 'Jay Moe' amefunguka na kusema kwamba kwenye nyimbo zake alizoweza kuandika na ku-diss watumiaji wa unga ilikuwa ni njia ya kufikisha ujumbe kwa marafiki zake na wasanii kwa njia ya sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS