Samia atoa onyo kwa wafugaji

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewataka wafugaji waache kutumika kama mtaji wa  kisiasa kwani kufanya hivyo kutarudisha nyuma jitihada za kuimarisha na kuboresha shughuli zao nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS