KERO

Mkazi wa eneo la Kwa Azizi Ali (Temeke) akionyesha mtaro mkubwa unaohatarisha nyumba zao ambao umepanuliwa ili ujengwe kwa ajili ya kupitisha maji ya mvua. Hata hivyo ujenzi huo unakwenda taratibu na kuwapa shaka wakazi hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS