Mwanamke amtupa mtoto ziwani

DCP Ahmed Msangi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza

Mwanamke mmoja mkazi wa Kisiwa cha Nyamango anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miezi saba baada ya kumtupa ziwa Victoria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS