"Msiwaongezee watalii stress"- Dkt Abbas 

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbas

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbas, amewataka waongoza utalii nchini kufanya kazi kitaalamu na kwa ukarimu wa hali ya juu badala ya kuwapiga vibomu watalii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS