Wanyama kuibukia ndani EATV
Mchezaji wa Kimataifa wa kutoka Kenya anayechezea klabu ya Tottenham Hotspurs, ya ligi kuu ya soka nchini Englad, Victor Wanyama, leo anatarajiwa kuwa mgeni kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EA TV, kuanzia saa 3:00 usiku.

