Mchezaji wa AFC Leopards akiwa anafanya mashambulizi upande wa Yanga
AFC Leopards wamefuzu kuingia fainali ya Sportpesa Super Cup baada ya kuwachakaza Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara, Yanga SC kwa mikwaju ya penati 4-2 mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.