Pointi 3 za Kagera na Simba, kizunguzungu

Celestine Mwesigwa, Katibu Mkuu TFF

Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imeshindwa kuamua suala la Simba na Kagera Sugar kuhusu point 3 za kagera ilizopewa Simba, baada ya malalamiko ya malalamiko kuwa Kagera walimchezesha mchezaji kinyume na kanuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS