Pointi 3 za Kagera na Simba, kizunguzungu
Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imeshindwa kuamua suala la Simba na Kagera Sugar kuhusu point 3 za kagera ilizopewa Simba, baada ya malalamiko ya malalamiko kuwa Kagera walimchezesha mchezaji kinyume na kanuni.