Yanga yamuacha Chirwa safari ya Algeria

Mabingwa wa Tanzania Bara Yanga SC kesho jioni wanatarajia kuondoka jijini Dar es salaam kuelekea nchini Algeria kupambana na MC Alger katika mchezo wa marudiano Kombe wa Shirikisho Afrika huku wakiwakosa wachezaji wake saba akiwemo Obrey Chirwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS