Poppe amkana Bocco na wenzake

Mwenyekiti wa Kamati ya usajili, Zakaria Hans Poppe

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho nchini Simba SC, Zakaria Hans poppe amekanusha timu yake kuwasajili wachezaji Aishi Manula, John Bocco, Shomari Kapombe pamoja na Emmanuel Okwi na kusema taarifa hizo ni za uongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS