VIDEO: Chadema hawana Shukrani - Wolper

 Wolper na baadhi ya Wasanii wakati wa kampeni za Uchaguzi mkuu 2015.

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka sababu za kuacha kuendelea kuisapoti CHADEMA ni viongozi wa chama hicho kushindwa kuutambua mchango wake alioutoa wakati wa uchaguzi mkuu hali iliyomfanya ajihihisi mpweke na kama ametelekezwa .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS