TRA yakusanya trilioni 10 kwa miezi 9

Richard Kayombo - Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipakodi wa TRA

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imekusanya mapato ya jumla ya shilingi za Tanzania trilioni 10.87 katika kipindi cha miezi tisa ya mwaka wa fedha ambao unaoishia Juni mwaka huu, huku kukiwa na dalili za kufikia lengo la makusanyo iliyojiwekea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS