Mnyama katika vita ya kurejea kileleni

Simba na Kagera katika mchezo wa raundi ya kwanza

Baada ya Yanga kukalia usukani wa ligi kuu ya Tanzania Bara hapo jana, leo Mnyama Simba SC anashuka katika dimba la Kaitaba mkoani Kagera kupigania kurejea katika nafasi hiyo ambayo imeikalia kwa muda mrefu katika msimu huu wa ligi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS