Hakuna wa kunibadilisha - Nay wa Mitego

Nay wa Mitego alipokutana na Waziri Mwakyembe, Dodoma

Hatimaye msanii Nay wa Mitego mwenye 'hit song ya wapo' amefunguka baada ya kumaliza mkutano na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Dodoma na kusema hakuna atakayeweza mbadilisha mtazamo wake katika kile anachoamini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS