Rais Samia ahimiza maadili vyombo vya habari

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kuhakikisha vyombo vya habari na utangazaji unakua na teknolojia  za juu za habari zinazozingatia mila na desturi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS