Polisi wabaini MC alijirusha ghorofani makusudi

Kushoto ni Joel Misesemo aliyefariki kwa kujitupa ghorofani na kulia ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kwamba Joel Misesemo aliyejirusha ghorofani kwenye jengo la Derm Plaza Makumbusho na kufariki dunia hii leo Mei 23, 2023, amejirusha kwa makusudi kupitia dirisha lililopo ghorofa ya saba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS