"Tutauza tani elfu 50 za nyama nje ya nchi" -Ulega

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega

Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiwezesha Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kiasi cha shilingi bilioni 4.65 kwa ajili ya kununua vitendea kazi na ng'ombe wazazi ili kuboresha na kuongeza uzalishaji wa kampuni hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS