Manara ang'aka kuhusu hali ya Mwanjali

Haji Manara - Msemaji wa Simba

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amesisitiza kuwa beki wa klabu hiyo Method Mwanjali hatakuwemo kwenye kikosi kitakachoshuka dimbani siku ya Jumapili kupambana na Madini FC ya Arusha, kutokana na kuwa majeruhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS