Guardiola, Harry Kane wapata tuzo EPL Kocha wa man City, Pep Guardiola Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi wa Februari baada ya kuiongoza timu hiyo kwa ushindi wa mechi tatu mfululizo. Read more about Guardiola, Harry Kane wapata tuzo EPL