'Viroba' kuhamishiwa kwenye chupa
Serikali imesema kama sehemu ya mikakati yake ya kudhibiti unywaji wa pombe maarufu kwa jina la 'viroba' itawaagiza wafanyabiashara wanaohusika kuzihamishia pombe hizo kwenye chupa kubwa ili vijjana wanaozitumia waone aibu kuzibeba kila wakati.