Joh Makini akataa mashindano kwenye muziki Joh Makini Rapa Joh Makini ambaye hivi sasa anafanya vyema na ngoma yake 'Waya' amefunguka na kusema kuwa wao kama Weusi hawashindani na msanii yoyote yule ila wao wanafanya muziki katika kutimiza ndoto zao. Read more about Joh Makini akataa mashindano kwenye muziki