AfDB kuizalishia Tanzania umeme wa bei nafuu
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Akinwumi Adesina amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, huku akiahidi kuwa benki hiyo itaizalishia Tanzania umeme wa gharama nafuu.