Murray bado hatua moja kumshusha Djokovic

Andy Murray kushoto akiwa na mchezaji namba moja duniani mchezo wa tenesi Novak Djokovic

Andy Murray amebakiza hatua moja pekee ili kuwa kinara wa tenisi duniani, baada ya kumchapa Jo-Wilfried Tsonga kwa seti za 6-3 7-6 (8-6), kwenye fainali ya Erste Bank Open mjini,Vienna.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS