Andy Murray kushoto akiwa na mchezaji namba moja duniani mchezo wa tenesi Novak Djokovic
Andy Murray amebakiza hatua moja pekee ili kuwa kinara wa tenisi duniani, baada ya kumchapa Jo-Wilfried Tsonga kwa seti za 6-3 7-6 (8-6), kwenye fainali ya Erste Bank Open mjini,Vienna.