Wilaya 43 ziko hatarini kukumbwa na njaa

Naibu Waziri wa Kilimo, Maendeleo ya mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha.

Serikali imesema kuwa nchi ina hifadhi kubwa ya chakula kutokana na mavuno ya msimu uliopita ingawa kuna wilaya 43 zenye upungufu wa chakula kutokana na mavuno yao kuwa chini hali iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS