Makundi matano yatinga fainali Dance100% 2016

Kundi la Makorokocho lilipokuwa kazini shindano la Dance100% hatua ya nusu fainali.

Makundi matano leo yamefanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya mchuano mkali wa makundi kumi kuonesha uwezo wa hali ya juu, katika hatua ya nusu fainali leo, na hatimaye matano yakatangazwa kushinda kuingia hatua ya fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS