Taifa Stars yakamilisha safari ya AFCON kinyonge

Baadhi ya Wachezaji wa Taifa Stars, kutoka kushoto ni Shomari Kapombe, Aishi Manula na Himid Mao

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imehitimisha mbio zake za kusaka nafasi ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Super Eagles ya Nigeria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS