Vijana mil. 115 duniani hawajui kusoma na kuandika

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon

Miaka 50 tangu kuanza maadhimisho ya siku ya kujua kusoma na kuandika duniani, imeelezwa kuwa maendeleo yamefikiwa lakini bado kuna changamoto kwa kila mtu kujua kusoma na kuandika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS