Vijana mil. 115 duniani hawajui kusoma na kuandika
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
Miaka 50 tangu kuanza maadhimisho ya siku ya kujua kusoma na kuandika duniani, imeelezwa kuwa maendeleo yamefikiwa lakini bado kuna changamoto kwa kila mtu kujua kusoma na kuandika.