Waziri Mkuu atoboa siri kupungua mizigo bandarini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kupungua kwa mizigo bandarini hakusababishwi na sera ya serikali ya awamu ya tano, bali ni suala la kidunia linalosababishwa na kushuka kwa sekta ya usafirishaji wa mizigo duniani kote, na siyo Tanzania pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS