Asagwa na mashine ya kokoto hadi kufa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Dhahir Athuman Kidavashari amesema wamepokea taarifa ya tukio la kifo cha mfanyakazi wa kiwanda cha SIKA kilichopo maeneo ya Rungwe Mkoani Mbeya, kifo ambacho kimesababishwa na mashine yakusagia kokoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS