Serikali yatumia 4bn kununulia vifaa tiba

Kigwangala akifafanua jambo Bungeni mjini Dodoma

Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto imesema shilingi bilioni 4,128,000,250 zimetumika kununua vifaa tiba katika hospitali mbalimbali za rufaa nchini ili kufanya maboresho ya hospitali hizo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS