Timu nyingi katika ligi zinaleta ushindani-Azam FC

Katika kuelekea kufungwa kwa pazia la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara 2015/16, Klabu ya Azam FC imewataka waandaaji wa Ligi kufikiria suala la kuwa na timu nyingi ili timu kucheza mechi nyingi na ligi ichezwe kwa upana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS