Serikali kuwasilisha hati ya haki za walemavu
Serikali imesema kuwa muda wowote itawasilisha hati ya kuridhia mkataba wa kimataifa kuhusu haki za walemavu ili kufungua milango ya kutoa huduma na kuwafanya watu wenye ulemavu kuwa sehemu ya wachangiaji wakubwa wa shughuli za maendeleo nchini.