Ugonjwa wa Mayoma sitatizo kubwa- Dkt. Kigwangala

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Khamis Kigwangala.

Serikali imesema haiweze kuweka programu maalum kukabiliana ya ugonjwa wa Mayoma ambao kitaalamu unajulikana kama Uterine Fibroid unaoathiri kina mama katika uzazi kwa kuwa haifiki hata asilimia 20 ya Wanawake wenye matatizo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS