Ugonjwa wa Mayoma sitatizo kubwa- Dkt. Kigwangala
Serikali imesema haiweze kuweka programu maalum kukabiliana ya ugonjwa wa Mayoma ambao kitaalamu unajulikana kama Uterine Fibroid unaoathiri kina mama katika uzazi kwa kuwa haifiki hata asilimia 20 ya Wanawake wenye matatizo hayo.