Serikali kuwasilisha hati ya haki za walemavu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Naibu Waziri wa Nchi, ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Abdallah Possi.

Serikali imesema kuwa muda wowote itawasilisha hati ya kuridhia mkataba wa kimataifa kuhusu haki za walemavu ili kufungua milango ya kutoa huduma na kuwafanya watu wenye ulemavu kuwa sehemu ya wachangiaji wakubwa wa shughuli za maendeleo nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS