Ajali za Kemikali 11 zimesababisha vifo 14

Mkurugenzi wa kitengo cha Utafiti na ubora wa Mifumo kutoka Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Bwana Benny Mallya katikati,upande wa kulia ni Silvester Omary Afisa habari kwa Mkemia Mkuu na Frank Mvungi kushoto Afisa Habari Maelezo mapema leo jijini Dar es Salaam.

Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini Tanzania imesema katika kipindi cha mwaka mojaa jumla ya matukio na ajali za Kemikali 11 ambazo zilitolewa taarifa na kusababisha vifo vya watu 14 pamoja na uharibifu mkubwa wa mali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS