Kamati ya nidhamu TFF kutangaza uamuzi rufaa FDL.

Jengo la ofisi za makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF zilizoko maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),leo saa 5:00 asubuhi itatangaza uamuzi wa rufaa nane zilizowasilishwa na kujadiliwa za viongozi, mchezaji na timu tatu zilizoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Tanzania

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS