Serikali iwe makini na mikataba ya wakandarasi

Wataalamu wa Ujenzi nchini Tanzania wameitaka serikali kuwa makini na Makampuni wanayoingia nayo mikataba wa ujenzi wa majengo na barabara nchini kwakuwa baadhi ya wahandisi wanaopewa kufanya kazi hizo hawana viwango.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS