Vijana watakiwa kuchapakazi na kuwa waadilifu

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Mwaka huu George Mbijima,

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Mwaka huu George Mbijima, amewataka Watanzania hasa vijana kuwa waadilifu na wachapakazi katika ajira zao ili kuwavutia waajiri wao wakiwemo wawekezaji wa ndani na nje ya nchi na kukuza uchumi wa taifa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS