Ajeruhiwa na walimu kwa tuhuma za kuiba maandazi

Mwanafunzi Laurence Mwangake

Mwanafunzi wa Kidato cha nne shule ya sekondari Rohila iliyopo Mbalizi, mkoani Mbeya, Laurence Mwangake, amelazwa katika hospitali ya Ifisi baada ya walimu wanne na walinzi wawili kumfungia katika chumba na kumuadhibu na kumsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS