Wananchi wahimizwa kupanda miti
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mary Masanja amewahimiza wananchi kuwa wahifadhi wa mazingira kwa kupanda miti ili kuepukana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoikumba dunia kama ukame na mafuriko