Mtanzania aliyeipigania vita Urusi azikwa

Kaburi la Nemes Tarimo

Mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo, aliyefia vitani nchini Ukraine, wakati akilitumikia jeshi la nchi ya Urusi, umezikwa hii leo Januari 28, 2023, Tukuyu mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS