Mtanzania aliyeipigania vita Urusi azikwa Kaburi la Nemes Tarimo Mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo, aliyefia vitani nchini Ukraine, wakati akilitumikia jeshi la nchi ya Urusi, umezikwa hii leo Januari 28, 2023, Tukuyu mkoani Mbeya. Read more about Mtanzania aliyeipigania vita Urusi azikwa