Watoto kupata taarifa za matukio ya ukatili
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limeungana na watoto wanaoishi katika kituo cha kulelea yatima kijulikanacho kwa jina la Maasai Girls Rescue Center kilichopo wilaya ya Karatu kwa lengo la kuwaleta karibu watoto na jeshi hilo ili kupata taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia.