Mkurugenzi adaiwa kuuza viwanja vya serikali

Selemani Sekiete, Mkurugenzi wa jiji la Mwanza

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima, amepokea ripoti ya uchunguzi kuhusu tuhuma za kuuza viwanja vya serikali vinavyodaiwa kuuzwa shilingi bilioni 1 kinyume na taratibu na Mkurugenzi wa jiji hilo Selemani Sekiete, vilivyopo Halmashauri ya wilaya ya Nyamagana mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS