Mkurugenzi adaiwa kuuza viwanja vya serikali
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima, amepokea ripoti ya uchunguzi kuhusu tuhuma za kuuza viwanja vya serikali vinavyodaiwa kuuzwa shilingi bilioni 1 kinyume na taratibu na Mkurugenzi wa jiji hilo Selemani Sekiete, vilivyopo Halmashauri ya wilaya ya Nyamagana mkoani humo.