Aliyepanda juu ya nguzo Musoma ana tatizo la akili

Nzungu Ndaki, alivyokuwa amepanda juu ya nguzo ya umeme

Mhandisi wa usafirishaji umeme mkoa wa Mwanza na Mara Shakiru Abdallah, amesema kwamba kijana aliyepanda juu ya nguzo ya umeme wa msongo wa kilovoti 132 kwenye njia ya Mwanza- Musoma, anakabiliwa na changamoto za matatizo ya afya ya akili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS