Chelsea, heri punda afe mzigo ufike

Kocha wa Chelsea, Grahm Potter na nahodha Cesar Azpilicueta

Todd Boehly anakaribishwa kwenye ulimwengu wa 'stress', licha ya pesa zake zote lakini moja ya kitu kinamnyima usingizi hivi sasa ni Chelsea, usajili bora anaendelea kuufanya lakini matokeo bado magumu, hiki kitu huwa kinawapa shida sana matajiri hasa kwenye biashara zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS