Azam FC yasaini mkabata Agan Khan

Taasisi ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Aga Khan, Tanzania (AKHST) imeingia makubaliano ya kutoa huduma za matibabu,mafunzo na uchunguzi wa afya kwa ujumla na klabu ya Azam kwa kipindi cha miaka miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS