Polisi wazungumza ajali iliyoua watano 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani ACP Pius Lutumo,

Watu watano wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugongana na gari la mizigo aina ya Mitsubishi Canter, katika eneo la Mwavi, Kata ya Kiwangwa wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS