Kizimbani kwa kuingiza mifuko ya plastiki nchini

Jovitus Kazimoto (38) mkazi wa Nyamhongolo manispaa ya Ilemela jijini Mwanza amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za kuingiza nchini mifuko ya plastiki iliyokatazwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS