Wananchi 4346 kunufaika na umeme wa REA

Kushoto ni Hashim Mgandilwa Kaimu Mkuu wa Mkoa Tanga, wa pili katikati ni Hassan Said Mkurugenzi Mkuu wa REA na anayefuata ni Mrisho Masoud Mkurugenzi kampuni ya Ok Electrical

Jumla ya wananchi 4,346 kutoka katika maeneo 82 mkoani Tanga, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa usambazaji wa umeme wa REA katika maeneo ya pembezoni mwa miji hapa nchini. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS