Kushoto ni Hashim Mgandilwa Kaimu Mkuu wa Mkoa Tanga, wa pili katikati ni Hassan Said Mkurugenzi Mkuu wa REA na anayefuata ni Mrisho Masoud Mkurugenzi kampuni ya Ok Electrical
Jumla ya wananchi 4,346 kutoka katika maeneo 82 mkoani Tanga, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa usambazaji wa umeme wa REA katika maeneo ya pembezoni mwa miji hapa nchini.