Serikali yaombwa kuwainua kiuchumi vijana

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo na nakshi za majengo maarufu kama Tanga stone wameiomba Serikali kuwawezesha kimitaji kwa kuwapatia tenda mbalimbali za ujenzi kwenye miradi ya kiserikali ili kupata fursa ya kukuza mitaji na kujiinua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS