CCM Iringa yasisitiza mikutano yenye tija Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yasini Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yasini, amesema ni vyema vyama vyote vikafuata utaratibu na kufanya mikutano yenye tija ili kusaidia wananchi kupata maendeleo katika maeneo yao. Read more about CCM Iringa yasisitiza mikutano yenye tija