Askari waliofunga ndoa Desemba 17 wafariki dunia

Wanandoa waliofariki dunia

Wanandoa wawili ambao wamefunga ndoa Desemba 17, 2022, wamefariki dunia jana Desemba 20, kwa ajali ya gari baada ya kulivaa kwa mbele basi la kampuni ya Luwinzo lililokuwa likitokea Ubaruku mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam, katika eneo la Tanangozi mkoani Iringa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS